Jumatatu, 27 Mei 2019

MAELEZO KUHUSU FOMU ZA MKOPO

TANGAZO KWA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA NA DIPLOMA MNATANGAZIWA KUWA 
UDAHILI WA FOMU ZA MKOPO UTAANZA HIVI KARIBUNI HIVYO WAHUSIKA WOTE WA FOMU HIZO ZA MKOPO MNATAKIWA KUHAKIKI VYETI VYA KUZALIWA NA VILE VYA VIFO ENDAPO MZAZI AU WAZAZI WAMEFARIKI  HIVYO BASI BAADA YA UHAKIKI MTATUMIWA VYETI VIKIWA NA MUHURI WA RITA    AMBAYO NI MOJA SIFA YA MTU ABAYETAKIWA KUJAZA FOMU YA MKOPO NI LAZIMA ATUME FOMU IKIWA NA CHETI CHA KUZALIWA KIKIWA NA MUHURI WA RITA  KWA MSAADA PIGA SIMU NAMBA 0659873288